GLORIA MUNHAMBO: SONG NO 10: UTAONA MAAJABU

Wote: Tumesoma mengi,juu ya Bwana Yesu ,upendo wake,ishara zake

??????????? Na usome tena , ukamwombe Bwana, na utaona maajabu

CHORUS

Wote: Hata leo,yanatokea,tunapoomba? kwa imani

 

???????????? Tuombe tu ,atusikia, na tutaona maajabu x 2

Wote: Jamaa wa Naini,wakosa imani, wafadhaika , wahuzunika

??????????? Bali Bwana Yesu , kafanya ajabu, aliyekufa kafufuka

CHORUS

Wote: Hata leo ? Solo: Hata leo

Wote: Yanatokea ? Solo: Yanatokea

Wote: Tunapoomba ?Solo: Tunapoomba

Wote: Kwa imani – Solo: Kwa imani

Wote: Tuombe tu ? Solo: Tuombe tu

Wote: Atusikia ? Solo: Atusikia

Wote : Na tutaona? – Solo: Na tutaona

Wote: Maajabu x2

3. Nalimwomba Mungu,Nikapata jibu,na jambo hili ni la fadhili

?? Usikate tamaa, ukamwombe Bwana, na utaona maajabu

CHORUS

Wote: Hata leo ? Solo: Hata leo

Wote: Yanatokea ? Solo: Yanatokea

Wote: Tunapoomba ?Solo: Tunapoomba

Wote: Kwa imani – Solo: Kwa imani

Wote: Tuombe tu ? Solo: Tuombe tu

Wote: Atusikia ? Solo: Atusikia

Wote : Na tutaona? – Solo: Na tutaona

Wote: Maajabu x2

MANENO

Haleluya , tukiomba Mungu anasikia, na tutaona maajabu

Tusikate tamaa, tumwombe Mungu kila siku

Na tutaona maajabu

Haleluya, Haleluya

 

CHORUS

Wote: Na utaona maajabu,na utaona maajabu x6

Solo: ??Na utaona, mungu habadiliki

Solo:? Na utaona? Ukimwomba Mungu

Solo:? Na utaona , maajabu

?Solo: Na utaona

?Solo: Mungu wetu ana uwezo

?Solo:? na utaona

?Solo: Nguvu zake za milele

?

Solo: Na utaona,

?Solo: usikate tamaai

?Solo: na utaona , na utaona, na utaona

?Solo:? Omba omba tu x 3 Omba baba, haleluya

?Solo :Omba omba tu ?Haleluya